Accountability is defined as "X is accountable to Y when X is obliged to inform Y about X's actions and decisions (past or future), to justify them, and to suffer punishment in the case of eventual misconduct." (Encyclopedia, Wikipedia). So there you have it: “ to suffer punishment in the case of eventual misconduct.” But it makes you really wonder whether if Masilingi and Chitalilo have been paying no attention at all to what is already known about EPA , Richmond, IPTL, and Net Group or it's simply a well orchestrated campaign to shield those who were largely involved in those scandals from accountability. Whatever that is, there is some sort of unwanted pattern emerging here. It is wrong, and we ought to be outraged....[Full Story >>]
Kauli za hivi karibuni toka vinywani mwa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani nchini Tanzania zinaweza kuudhihirishia umma kuwa viongozi hao aidha na vyama vyao kwa pamoja havina au hawana ukomavu katika medani za kisiasa na kidiplomasia. Niliwahi kumsikia Mwenyekiti wa muda mrefu wa Chama Cha Democratic (DP) Mchungaji Christopher Mtikila akibeza kuendelea kwa mazungumzo kati ya CCM na CUF na kuwaita CUF ni wasaliti wa upinzani.Lakini pia ikatoka kauli ya kumponda kiongozi mmoja wa CUF Bw. Hussein Mmasi akidai CCM na viongozi wa SADC hawaonyeshi kumkosoa Robert Mugabe na kwamba lao ni moja katika kufididi na kuififiisha demokrasia Afrika....[Habari Kamili >>]
Itakumbukwa kuwa huyu Mhe. Edward Ngoyayi Lowassa alikuwa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais mwaka 1995 aliyeenguliwa kwa hoja nzito ya kutokuwa muadilifu na marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, kuwa alikuwa amejilimbikizia mali nyingi kwa kipindi kifupi kama mtumishi wa Chama na Serikali. Lakini angalia tunavyofanya “total transgression of CCM regulations and ethics” leo hii. Kamati kuu 1995 ilimwona Mhe. Lowassa hana uadilifu. Mhe. Mkapa baada ya kuingia madarakani baada ya muda si mrefu sijui ni kwa kikao gani cha CCM na taasisi ipi ya serikali, akamwona Lowassa ni safi na akamweka katika safu yake ya baraza la mawaziri. Huyu bwana akaendelea na huo usafi hadi akaukwaa uwaziri mkuu 2005 (hadi kujiuzuru kwake). Yote haya yanatia shaka kama kweli ndani ya CCM na Serikali tuna benki sahihi ya takwimu za mienendo ya kitabia ya wanachama na watumishi wetu au ni suala la kubebana kwa majina tu...[Habari kamili >>]